// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
ILICHOKIFANYA AZAM JANA MABATINI, ACHA WATU ROHO ZIWAUME! - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEILICHOKIFANYA AZAM JANA MABATINI, ACHA WATU ROHO ZIWAUME! - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
ILICHOKIFANYA AZAM JANA MABATINI, ACHA WATU ROHO ZIWAUME!
Mfungaji wa bao la tatu la Azam FC katika ushindi wa 3-0 jana dhidi ya wenyeji Ruvu Shooting Uwanja wa Mabatini, Mlandizi mkoani Pwani, Kipre Tchetche akimtoka beki wa timu hiyo ya Jeshi katika mchezo huo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. u
La kwanza; Gaudence Mwaikimba kushoto akishangilia na Kipre Tchetche baada ya kufunga bao la kwanza jana
Mwaikimba akipongezwa na wenzake
Mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco akipiga mpira kwa kichwa mbele ya beki wa Ruvu
Mwaikimba akiwatoka mabeki wa Ruvu
Mwaikimba jana alifanya kazi nzuri na kutoa mchango mkubwa mkubwa katika ushindi wa Azam
John Bocco akiteleza kupiga mpira
Mfungaji wa bao la pili la Azam FC, Himid Mao akimtoka beki wa Ruvu
John Bocco ameanguka chini huku beki wa Ruvu akiondosha mpira hatarini
Kiungo mbunifu, Salum Abubakar Salum 'Sure Boy' akifanya vitu vyake katikati ya wachezaji wa Ruvu
Abia police kill 6 kidnappers, free 4 victims
-
From Okey Sampson, Umuahia Police in Abia said they have killed six
kidnappers who have been terrorising the Obingwa axis of Aba and rescued
four kidnapp...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment