Paparazi: Cristiano Ronaldo, ambaye alikosa mchezo wa jana wa Robo Fainali ya pili ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Real Madrid ikifungwa 2-0 na Dortmund na kusonga mbele kwa faida ya ushindi wa awali wa 3-0 akipiga picha akiwa ameketi benchi kwa sababu alikuwa majeruhi.
+25
Ronaldo akipeana mikono na mashabiki
+25
Saini: Ronaldo akitia saini kwa mashabiki kabla ya mchezo wa jana
Ronaldo akiwaongoza wenzake Real Madrid kushangilia kutoka kwenye benchi
0 comments:
Post a Comment