Mohamed Salah akicheza mechi yake ya kwanza The Blues, alifunga bao la kwanza dakika ya 32 pasi ya Nemanja Matic, kabla ya mkongwe Frank Lampard kufunga la pili dakika ya 61 na Willian kukamilisha ushindi dakika ya 72 kwa bao la pasi ya Salah.
Kikosi cha Jose Mourinho kilijikuta katika wakati mgumu baada ya kufungwa na Crystal Palace wiki iliyopita, lakini sasa matumaini yamerejea baada ya kufikisha pointi 72 kutoka michezo 33.
Liverpool yenye pointi 71 za mechi 32, ambayo inacheza na West Ham kesho na Manchester City iliyoifunga 4-1 Southampton mapema leo na kufikisha



.png)
0 comments:
Post a Comment