• HABARI MPYA

    Monday, March 31, 2014

    WASANII KATIKA SEMINA YA TUZO ZA KILI LEO

    Mwanamuziki wa bendi ya Mapacha Watatu, Khalid Chokora akizungumza wakati wa semina ya wanamuziki walioingia kwenye kinyang'anyiro cha ruzo za muziki Tanzania, maarufu Kilimanjaro Music Award au tuzo za Kili inayoendelea hivi sasa katika hoteli ya Double Tree, Masaki, Dar es Salaam. Kulia ni mwimbaji wa Mapacha, Catherine Cindy.  
    Muongoza shughuli,Taji Liundi 'Master T' kulia na kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ushauri ya tuzo, Innocent Nganyagwa
    Mzee Yussuf wa Jahazi Modern Taarab kushoto
    Mwanamuziki wa Hip hop, Fid Q kushoto na rafiki yake, Rashid Kihelero
    Kutoka kulia Hamisi Dakora, Abdul Kiba na Mwana FA
    Kulia Jose Mara wa Mapacha Watatu na kushoto Nyoshi El Saadat wa FM Academia
    Kulia ni Said Fela na kushoto ni DJ Kwembe Ally
    Hussein Jumbe wa Talent Band na Rukia Juma wa Mashauzi kushoto
    Hamza 'Komando' Kalala kulia na Kapteni Temba
    Meneja wa bia ya Kilimanjaro, George Kavishe kushoto akizungumza na Fina Mango wa Magic FM
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WASANII KATIKA SEMINA YA TUZO ZA KILI LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top