• HABARI MPYA

    Sunday, September 29, 2013

    SIMBA SC ILIYOZIDI KUPAA LIGI KUU LEO, ANGALIA MAVITU YA TAMBWE SI MCHEZO

    IMEWEKWA SEPTEMBA 29, 2013 SAA 3:24 USIKU
    Mshambuliaji wa Simba SC, Amisi Tambwe akipambana na beki wa JKT Ruvu, Omar Mtaki anayecheza kwa mkopo kutoka Azam FC, katika mchezo wa leo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba SC ilishinda 2-0.

    Kiungo wa Simba SC, Abdulhalim Humud 'Gaucho' akienda chini baada ya kuchezewa rafu na beki wa JKT Ruvu, Amos Mgisa

    Mshambuliaji wa Simba SC, Betram Mombeki akibusu kiatu cha kiungo Ramadhani Singano 'Messi' baada ya kufunga bao la pili 

    Abdulhalim Humud akimtoka Salum Machaku kabla ya kupiga krosi iliyozaa bao la pili 

    Haroun Chanongo akipambana na beki wa JKT Ruvu

    Amos Mgisa akituliza mpira gambani mbele ya beki wa Simba SC, Adeyoum Seif

    Gilbert Kaze wa Simba SC kushoto akigombea mpira na Bakari Kondo wa JKT Ruvu

    Haruna Shamte wa Simba SC akipambana na mchezaji wa JKT Ruvu

    Bakari Kondo akimtoka Gilbert Kaze wa Simba SC 

    Alhaj Zege wa JKT Ruvu akipambana na Adeyoum Seif wa Simba SC kulia

    Omar Mtaki wa JKT Ruvu anayecheza kwa mkopo kutoka Azam, akimdhibiti Betram Mombeki

    Abdulhalim Humud 'Gaucho' akimuacha chini Salum Machaku

    Amri Kiemba akimtoka Salum Machaku

    Amri Kiemba akimuacha chini Nashon Naftali wa JKT Ruvu

    Omar Mtaki alimdhibiti vizuri Amisi Tambwe akaambulia kufunga bao moja tu kwa penalti

    Mtaisoma SImba 2013; Mashabiki wa Simba SC kwa raha zao

    Haloo, Simba SC mwaka huu inatisha; Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe kushoto akizungumza na simu huku akifuatilia mchezo 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: SIMBA SC ILIYOZIDI KUPAA LIGI KUU LEO, ANGALIA MAVITU YA TAMBWE SI MCHEZO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top