• HABARI MPYA

    Thursday, September 19, 2013

    MOURINHO HOI DARAJANI, CHELSEA YACHAPWA 2-1 NYUMBANI LIGI YA MABINGWA

    IMEWEKWA SEPTEMBA 19, 2013 SAA 7:00 USIKU
    MECHI nne bila ushindi. Kama Rafa Benitez angekuwa bado yupo kazini, anerushiwa mayai viza.
    Jose Mourinho amepata kipigo katika mchezo wake wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa baada ya Chelsea kuchapwa mabao 2-1 nyumbani na FC Basle.
    Oscar alitangulia kuwafungia The Blues dakika ya 45, lakini Salah akasawazisha dakika ya 71, kabla ya Streller kufunga la ushindi dakika ya 82 Uwanja wa Stamford Bridge.
    Kikosi cha Chelsea kilikuwa: Cech, Ivanovic, Cahill, Luiz, Cole, Oscar, van Ginkel/Mikel dk75, Lampard/Ba dk76, Willian/Mata dk67, Eto'o na Hazard.
    Basle: Sommer, Voser, Schar, Ivanov, Safari, Salah/Xhaka dk88, Diaz, Frei, Stocker/Ajetidk 83, Sio/Delgado dk65 na Streller.
    Head in hands: Frank Lampard (left) looks stunned as Basle celebrate their shock victory at Stamford Bridge
    Mkono kichwani: Frank Lampard (kushoto) akionekana mnyonge wakati Basle wanashangilia ushindi wao Stamford Bridge
    Plenty to ponder: Gary Cahill, Oscar and John Obi Mikel reflect on a sobering defeat
    Wanyonge: Gary Cahill, Oscar na John Obi Mikel wakisikitikia kipigo
    Matchwinner: Marco Streller (second right) steals in at the near post to head Basle's decisive second goal
    Mshii wa mechi: Marco Streller (wa pili kushoto) akiifungia bao la ushindi Basle
    Head boy: Streller (centre left) celebrates with fellow goalscorer Mohamed Salah
    Mkali wa vichwa: Streller (katikati kushoto) akishangilia na mfngaji mwenzake Mohamed Salah
    Stunner: Mohamed Salah (centre) celebrates with his Basle team-mates after levelling the scores
    Bao: Mohamed Salah (katikati) akishangilia na wachezaji wenzake wa Basle baada ya kusawazisha
    Equaliser: Mohamed Salah (centre) curls in a brilliant finish to level things up in the second half
    La kusawazisha: Mohamed Salah (katikati) alifunga bao zuri
    Not pretty watching: Jose Mourinho suffered only his second ever defeat at Stamford Bridge
    Huzuni tu: Jose Mourinho amefungwa mechi ya pili tangu arejee Stamford Bridge
    Rumblings of discontent: A Chelsea fan shows his displeasure at Juan Mata's lack of first-team action
    Ujumbe kwa kocha: Shabiki la Chelsea akipeleka ujumbe kwa kocha Mourinho kwamba Juan Mata anastahili kucheza na si kukaa benchi
    On the sidelines: Club captain John Terry was left on the substitutes' bench for the night
    Benchi: Nahodha wa klabu, John Terry alisugua benchi
    Flying the flag: Oscar celebrates after opening the scoring for Chelsea at the end of the first half
    Anapeperusha bendera : Oscar akishangilia baada ya kuifungia Chelsea mwishoni mwa kipindi cha kwanza
    Fancy footwork: The Brazilian midfielder displays the quick feet that earned him his goal
    Mikogo kwa mashabiki: Kiungo Mbrazil akishangilia bao lake
    And the Oscar goes to... The Blues star blasts in from just inside the penalty area
    Oscar anakwenda kufunga
    No holds barred: Ashley Cole and Salah go flying in to the tackle to compete for the ball
    Ashley Cole akipambana na Salah
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MOURINHO HOI DARAJANI, CHELSEA YACHAPWA 2-1 NYUMBANI LIGI YA MABINGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top