• HABARI MPYA

    Saturday, September 28, 2013

    NGASSA ALIVYOREJEA NYUMBANI JANGWANI LEO YANGA SC IKIIBWAGA RUVU 1-0 LIGI KUU, ANGALIA KONGA ALILOPEWA KIIZA NA BEKI LA JESHINI, UTAMHURUMIA

    IMEWEKWA SEPTEMBA 28, 2013 SAA 2:19 USIKU
    Mshambuliaji wa Yanga SC, Mrisho Ngassa akiwapunguia mikono mashabiki wa Simba SC baada ya kutoa pasi iliyozaa bao pekee la ushindi kwa timu yake leo dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo.

    Stefano Mwasyika wa Ruvu Shooting akimdhibiti Mrisho Ngassa

    Wachezaji wa Yanga na Ruvu wakigombea mpira

    Hamisi Kiiza akiugulia maumivu baada ya kuchezewa rafu na Stefano Mwasyika

    Beki wa Ruvu Shooting George Michael akimpiga ngumi mshambuliaji wa Yanga SC, Hamisi Kiiza

    Kazi kweli kweli...kama siyo soka vile

    Krosi ya bao; Mrisho Ngassa akipga krosi iliyounganishwa na Hamisi Kiiza kwa tik tak kuipatia Yanga SC bao pekee la ushindi

    Simon Msuva akiwakimbiza mabeki wa Ruvu Shooting

    Haruna Niyonzima akimtoka kiungo wa Ruvu

    Hamisi Kiiza alikaribia kufunga kipindi cha kwanza kabla ya kufunga bao pekee kipindi cha pili

    Didier Kavumbangu akimuacha chini beki wa Ruvu

    Shaaban Suzan wa Ruvu Shooting akikabiliana na mshambuliaji wa Yanga SC, Didier Kavumbangu

    Beki wa Yanga SC, Kevin Yondan akipanda kusaidia mashambulizi

    Ayoub Kitala akipambana na Mrisho Ngassa, huku Cossmas Lewis akiwa tayari kutoa msaada

    Stefano Mwasyika akimuacha chini Simon Msuva 

    11 walioanza Yanga SC leo

    11 wa Ruvu Shooting walioanza leo

    Beki wa Ruvu akimuweka chini mshambuliaji wa Yanga SC, Didier Kavumbangu

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: NGASSA ALIVYOREJEA NYUMBANI JANGWANI LEO YANGA SC IKIIBWAGA RUVU 1-0 LIGI KUU, ANGALIA KONGA ALILOPEWA KIIZA NA BEKI LA JESHINI, UTAMHURUMIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top