• HABARI MPYA

    Wednesday, September 18, 2013

    MAN CITY ILIVYOTUMIA DAKIKA 10 TU 'KUITISHA' MAN UNITED

    IMEWEKWA SEPTEMBA 18, 2013 SAA 2:05 ASUBUHI
    KOCHA Manuel Pellegrini jana alikuwa mwenye furaha baada ya timu yake, Manchester City kuanza vyema Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa ushindi wa 3-0 ugenini dhidi ya wenyeji Viktoria Plzen katika kundi lao D lenye timu za Bayern Munich na CSKA Moscow.
    Dakika 10 zilitosha kwa City kutengeneza ushindi mnono na sasa wanaelekea kwenye mchezo na mahasimu, Man United Jumapili wakiwa wenye kujiamini.
    Edin Dzeko alifunga la kwanza dakika ya 48, Yaya Toure akafunga la pili dakika ya 53 na Sergio 'Kun' Aguero akakamilisha kazi dakika ya 58 kwa bao la tatu.
    kikosi cha Man City kilikuwa: Hart, Zabaleta, Kompany, Nastasic, Kolarov, Toure (Javi Garcia 80), Fernandinho, Jesus Navas/Milner dk67, Aguero, Nasri, Dzeko/Negredo dk83.
    Plzen: Kozacik, Rajtoral, Hejda/Hubnik dk66, Prochazka, Limbersky, Horava, Horvath, Petrzela, Kolar/Duris dk61, Kovarik, Bakos/Tecl dk84.
    Dream start: Manchester City players celebrate their away win at Viktoria Plzen
    Salamu United: Wachezaji wa Manchester City wakishangilia ushindi wao wa ugenini dhidi ya Viktoria Plzen
    Dream start: Manchester City celebrate their winning start to the Champions League campaign
    Mwanzo mzuri: Wachezaji wa Manchester City wakisherehekea kuanza vyema Ligi ya Mabingwa
    Opening up: Edin Dzeko scores Manchester City's first goal with a neat finish
    La kwanza: Edin Dzeko aliifungia bao la kwanza Manchester City
    Breaking the deadlock: Dzeko celebrates his goal shortly after half time
    Dzeko akishangilia baada ya kufunga
    No stopping that: Viktoria Plzen's goalkeeper Matus Kozacik dives for the ball as Manchester City's Yaya Toure (unseen) scores
    Huwezi kuzuia mchomo huu: Kipa wa Viktoria Plzen, Matus Kozacik akirukia mpira uliopigwa na kiungo wa Manchester City, Yaya Toure (hayupo pichani) bila mafanikio, unapita kutinga nyavuni
    Pick that one out: Yaya Toure celebrates his excellent goal from outside the box
    Yaya Toure akishangilia baada ya kufunga bao zuri kutoka nje ya boksi
    Running free: Samir Nasri beats Viktoria Plzen's Lukas Hejda to the ball
    Samir Nasri akimtoka mchezaji wa Viktoria Plzen, Lukas Hejda 
    Sergio Aguero
    Sergio Aguero
    Vitani: Sergio Aguero akipambana na Lukas Hejda 
    Wrapping it up: Aguero celebrates scoring City's third
    Aguero akishangilia baada ya kufunga bao la tatu
    Edin Dzeko
    Yaya Toure (L) and Samir Nasri celebrate Toure's goal
    Aguero akishangilia na Dzeko, na Toure na Nasri 
    Perfect start: Manuel Pellegrini enjoyed a win on his first Champions League game in charge of City
    Mwanzo mzuri: Manuel Pellegrini alifurahia ushindi wa ugenini jana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MAN CITY ILIVYOTUMIA DAKIKA 10 TU 'KUITISHA' MAN UNITED Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top