IMEWEKWA SEPTEMBA 22, 2013 SAA 9:47 ALASIRI
Bingwa wa Ulaya: Dereck Chisora akimchapa konde Mjerumani Edmund Gerber katika pambano la kuwania ubingwa wa Ulaya kwenye ukumbi wa Copper Box Arena mjini London. Chisora alishinda kwa Technical Knockout (TKO) Raundi ya tano.
Taji: Del Boy akipewa taji lake baada ya kumpiga Edmund Gerber ukumbi wa Copper Box
piga kama mwizi: Refa alimaliza pambano baada ya Chisora kumpiga mpinzani wake mfululizo bila majibu