Picha ya juu ni kocha wa Zamalek, Hassan Shehata (kushoto) akifanya mazoezi na wachezaji wake kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Afrika, dhidi ya wenyeji Yanga. Chini ni Amr Zaki, mshambuliaji tegemeo wa timu hiyo akikokota mpira katika mazoezi hayo. Kesho shughuli itakuwa pevu.
South Africa into round of 32 after win over South Korea
-
Thapelo Maseko's second-half goal gives South Africa a 1-0 win over South
Korea in Monterrey, and sends them into the World Cup knockout phase.
7 minutes ago




.png)
0 comments:
Post a Comment