Picha ya juu ni kocha wa Zamalek, Hassan Shehata (kushoto) akifanya mazoezi na wachezaji wake kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Afrika, dhidi ya wenyeji Yanga. Chini ni Amr Zaki, mshambuliaji tegemeo wa timu hiyo akikokota mpira katika mazoezi hayo. Kesho shughuli itakuwa pevu.
Errands instead of espresso martinis? Why low-key hangs are redefining
friendship
-
All the hangouts currently en vogue, from admin nights to chore hangs to
body doubling, fit this ethos of trying to cultivate mundane intimacy in
hard times.
2 hours ago




.png)
0 comments:
Post a Comment