Picha ya juu ni kocha wa Zamalek, Hassan Shehata (kushoto) akifanya mazoezi na wachezaji wake kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Afrika, dhidi ya wenyeji Yanga. Chini ni Amr Zaki, mshambuliaji tegemeo wa timu hiyo akikokota mpira katika mazoezi hayo. Kesho shughuli itakuwa pevu.
Sawe smashes two-hour barrier to make history in London
-
Sabastian Sawe makes history as the first person to run a sub-two hour
marathon in a competitive race at the London Marathon.
1 hour ago




.png)
0 comments:
Post a Comment