Picha ya juu ni kocha wa Zamalek, Hassan Shehata (kushoto) akifanya mazoezi na wachezaji wake kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Afrika, dhidi ya wenyeji Yanga. Chini ni Amr Zaki, mshambuliaji tegemeo wa timu hiyo akikokota mpira katika mazoezi hayo. Kesho shughuli itakuwa pevu.
Vinicius Jr stops fun and leaves Scots down... but are they out?
-
Scotland's party stops at the hands of Brazil in Miami, but might they
still find themselves in the last 32?
1 hour ago




.png)
0 comments:
Post a Comment