Mechi kati ya Yanga na Zamalek inaendele kipindi cha pili hivi sasa dakika zinayoyoma, Amr Zaki anaisawaishia bao Zamalek. 1-1. Yanga ilikuwa ya kwanza kupata bao, lililofungwa na Mwanasoka Bora wa Uganda 2011, Hamisi Kiiza. Uwanja wa Nyamirambo mjini Kigali, Mwinyi Kazimoto anaifungia Simba bao la kwanza dakika ya 43 dhidi ya wenyeji Kiyovu Sport. Tuendelee kuziombea dua timu zetu za Tanzania zishinde leo.
The Latest: Trump sending Witkoff and Kushner to Pakistan for talks with
Iran's foreign minister
-
U.S. President Donald Trump is sending envoys Steve Witkoff and Jared
Kushner to Pakistan to take part in a second round of ceasefire
negotiations with Ira...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment