Mechi kati ya Yanga na Zamalek inaendele kipindi cha pili hivi sasa dakika zinayoyoma, Amr Zaki anaisawaishia bao Zamalek. 1-1. Yanga ilikuwa ya kwanza kupata bao, lililofungwa na Mwanasoka Bora wa Uganda 2011, Hamisi Kiiza. Uwanja wa Nyamirambo mjini Kigali, Mwinyi Kazimoto anaifungia Simba bao la kwanza dakika ya 43 dhidi ya wenyeji Kiyovu Sport. Tuendelee kuziombea dua timu zetu za Tanzania zishinde leo.
Amazon Employees Back Seattle Push to Pause AI Data Centres
-
Amazon employees are publicly backing a proposal for Seattle to impose a
one-year moratorium on new large-scale data centres, arguing that the rapid
expans...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment