Mwanamuziki na mwanasiasa wa upinzani, Youssou N'Dour akiwa katika Mkutano wa wapinzani kabla ya kutawanywa na Polisi katikati ya Jiji la Dakar leo. Wapinzani Senegal wanaomba ulinzi mpya kufuatia hofu inayotokana na vurugu zinazoendela kuelekea kwenye uchaguzi Mkuu ambao rais Abdoulaye Wade anawania kwa mara ya tatu mfululizo ingawa anapingwa na wengi. Youssou N'Dour anagombea urais.
What happens when Man United finally win five in a row? Viral fan reveals
his plans to stay relevant once his haircut challenge is ended by the Red
Devils
-
Frank Ilett - better known as The United Strand - has been growing out his
now-mop-like hair since October 2024, a period during which United have
failed t...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment