Mwanamuziki na mwanasiasa wa upinzani, Youssou N'Dour akiwa katika Mkutano wa wapinzani kabla ya kutawanywa na Polisi katikati ya Jiji la Dakar leo. Wapinzani Senegal wanaomba ulinzi mpya kufuatia hofu inayotokana na vurugu zinazoendela kuelekea kwenye uchaguzi Mkuu ambao rais Abdoulaye Wade anawania kwa mara ya tatu mfululizo ingawa anapingwa na wengi. Youssou N'Dour anagombea urais.
Man arrested on suspicion of assault after Sharp was floored during pitch invasion
-
Billy Sharp was sidelined for the second leg because of injury and was
stood on the touchline after Forest secured a dramatic 3-2 penalty shootout
victory ...
Dakika 22 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni