Mwanamuziki na mwanasiasa wa upinzani, Youssou N'Dour akiwa katika Mkutano wa wapinzani kabla ya kutawanywa na Polisi katikati ya Jiji la Dakar leo. Wapinzani Senegal wanaomba ulinzi mpya kufuatia hofu inayotokana na vurugu zinazoendela kuelekea kwenye uchaguzi Mkuu ambao rais Abdoulaye Wade anawania kwa mara ya tatu mfululizo ingawa anapingwa na wengi. Youssou N'Dour anagombea urais.
Raiders' Maxx Crosby, Rams' Puka Nacua Join Jordan Brand's Roster of Elite
Athletes
-
Las Vegas Raiders defensive end Maxx Crosby and Los Angeles Rams wide
receiver Puka Nacua are the newest members of Jordan Brand's expansion into
the NFL. ...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment