• HABARI MPYA

    Wednesday, February 29, 2012

    CRISTIANO RONALDO ANAPOUSAKA UPEPO...

    Mreno Cristiano Ronaldo, kushoto na Hugo Almeida katika mazoezi ya timu yao ya taifa kwenye Uwanja wa Taifa mjini Warsaw, Poland jana tayari kwa mchezo wa leo wa kirafiki baina ya timu hizo kwenye Uwanja huo, maalum kujiandaa fainali za Kombe la Mataifa Ulaya, Euro 2012 inayoandaliwa kwa pamoja na Poland na Ukraine.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CRISTIANO RONALDO ANAPOUSAKA UPEPO... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top