Bondia Muingereza David Haye, katikati, akiwa na rafiki zake wakipita katika Uwanjua wa Ndege wa Heathrow, London kuelekea Marekani jana. Haye aligombana na bondia mwenzake wa Uingereza, Dereck Chisora aliyetoka kuzipiga na Vitali Klitschko, mjini Munich, Ujerumani Jumamosi. Bodi ya Ngumi Uingereza inafanya uchunguzi juu ya tukio hilo juu ya Chisora na ikibainika atachukuliwa hatua. Haye hawezi kuchukuliwa hatua, kwa sababu bondia huyo wa London amestaafu ndondi mwaka jana baada ya kupiwa na mdogo wake Klitschko, Wladimir, lakini inaaminika Haye anatafutwa na Polisi wa Ujerumani kwa mahojiano juu ya tukio hilo.
Christian Eriksen speaks out on his shocking collapse as he is discharged
from hospital - and says it was 'very different from 2021' - as Danish
pundit tells him: Retire for your wife's sake
-
Christian Eriksen has been discharged from hospital. In a statement
released this afternoon he said: 'Receiving a shock from my ICD has had a
major impact'.
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment