Bondia Muingereza David Haye, katikati, akiwa na rafiki zake wakipita katika Uwanjua wa Ndege wa Heathrow, London kuelekea Marekani jana. Haye aligombana na bondia mwenzake wa Uingereza, Dereck Chisora aliyetoka kuzipiga na Vitali Klitschko, mjini Munich, Ujerumani Jumamosi. Bodi ya Ngumi Uingereza inafanya uchunguzi juu ya tukio hilo juu ya Chisora na ikibainika atachukuliwa hatua. Haye hawezi kuchukuliwa hatua, kwa sababu bondia huyo wa London amestaafu ndondi mwaka jana baada ya kupiwa na mdogo wake Klitschko, Wladimir, lakini inaaminika Haye anatafutwa na Polisi wa Ujerumani kwa mahojiano juu ya tukio hilo.
Boston Bruins veteran Milan Lucic's wife 'files for separation' five months
after he was accused of choking her and puling her hair in a 'drunken fight
about her hiding his phone'
-
TMZ Sports reported that Brittany filed for a divorce due to
'irreconcilable differences.' She listed their marriage date as July 19,
2012, and their date ...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment