Mshambuliaji wa Uholanzi Robin van Persie anayechezea Arsenal ya England, akimiliki mpira wakati wa mazoezi ya timu yake ya taifa kwenye Uwanja wa Wembley jana, tayari kwa mchezo wa leo wa kirafiki dhidi ya England kwenye Uwanja huo huo.Kumbuka huyu ndiye mfungaji bora wa mabao katika Ligi Kuu ya England inayoendelea hivi sasa. Je, England wana beki wa kumzuia Van Mabao asiwafunge?
Erik ten Hag: My focus is now on Manchester United
-
Erik ten Hag has confirmed that he is ready to begin his new job at
Manchester United on Monday. While Ten Hag just signed a long-term contract
with the Pr...
Dakika 6 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni