Mshambuliaji wa Uholanzi Robin van Persie anayechezea Arsenal ya England, akimiliki mpira wakati wa mazoezi ya timu yake ya taifa kwenye Uwanja wa Wembley jana, tayari kwa mchezo wa leo wa kirafiki dhidi ya England kwenye Uwanja huo huo.Kumbuka huyu ndiye mfungaji bora wa mabao katika Ligi Kuu ya England inayoendelea hivi sasa. Je, England wana beki wa kumzuia Van Mabao asiwafunge?
Cowboys Rumors: Ezekiel Elliott's Reps Meeting at Facility Ahead of 2024
NFL Draft
-
The Dallas Cowboys hosted a visit with a representative for free-agent
running back Ezekiel Elliott, according to Josina Anderson of CBS Sports.
Elliott sp...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment