Mshambuliaji wa Uholanzi Robin van Persie anayechezea Arsenal ya England, akimiliki mpira wakati wa mazoezi ya timu yake ya taifa kwenye Uwanja wa Wembley jana, tayari kwa mchezo wa leo wa kirafiki dhidi ya England kwenye Uwanja huo huo.Kumbuka huyu ndiye mfungaji bora wa mabao katika Ligi Kuu ya England inayoendelea hivi sasa. Je, England wana beki wa kumzuia Van Mabao asiwafunge?
Ahead of SpaceX IPO, Musk says AI satellites will use mostly existing
technology
-
June 8 () - SpaceX CEO Elon Musk said on Monday that building orbital AI
data centers is not a difficult engineering challenge as the company
prepares for ...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment