KOCHA wa timu ya taifa ya Hispania, Vicente del Bosque amemtema mshambuliaji wa Chelsea, Fernando Torres kwenye kikosi cha mabingwa hao wa Ulaya na Dunia kitakachocheza mechi ya kirafiki dhidi ya
Venezuela mjini Malaga Jumatano. Del Bosque amesema kutakuwa na mabadiliko kwenye kikosi kabla ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Ulaya itakayofanyika Ukraine na Poland, kwani anataka kiundwe na wachezaji ambao wamekuwa wakicheza vizuri siku za karibuni. "Ni babu kubwa, tunamkubali na inaniuma kumuacha, lakini lazima nitende haki," alisema Del Bosque kwenye Mkutano na Waandishi wa Habari.
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni