Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiagana na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Mr. ii au Sugu’, wakati
akiondoka eneo la Uyole, baada ya kuweka jiwe la msingi katika
jengo la SACCOS-UWAMU lililopo Mbeya mjini, wakati akiwa katika
ziara yake ya Mkoa wa Mbeya jana Februari 25, 2012. Picha na Muhidin
Sufiani-OMR
Watch: Lille midfielder Ethan Mbappe shown red card for ugly elbow
-
Ethan Mbappé was shown a red card in Lille's Champions League match against
Real Betis on Tuesday.
19 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment