Hiki ndicho cha Simba SC katika msimu wa kwanza wa kocha Mkenya, James Aggrey Siang’a aliyeariki dunia juzi usiku kwao, Kenya. Kutoka kulia waliosimama ni Shekhan Rashid, Boniface Pawasa, Suleiman Matola, Geoffrey Mhando, Madaraka Suleiman na Joseph Kaniki. Waliochuchumaa ni Sekelo Barnabas, Qureish Ufunguo, Mwameja Mohammed na Steven Mapunda ‘Garrincha’. Ambaye amekatwa ni Nteze John. Kikosi hiki kilitwaa mataji matatu mwaka 2002, Kombe la Tusker, Ligi ya Muungano na Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, sasa Kombe la Kagame
Stat shows Bruno is Europe's best creator
-
Fernandes leads the way this term in the Premier League and across the
continent.
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment