• HABARI MPYA

    Sunday, September 11, 2016

    KIKOSI CHA KWANZA TISHIO CHA MAREHEMU SIANG’A SIMBA SC

    Hiki ndicho cha Simba SC katika msimu wa kwanza wa kocha Mkenya, James Aggrey Siang’a aliyeariki dunia juzi usiku kwao, Kenya. Kutoka kulia waliosimama ni Shekhan Rashid, Boniface Pawasa, Suleiman Matola, Geoffrey Mhando, Madaraka Suleiman na Joseph Kaniki. Waliochuchumaa ni Sekelo Barnabas, Qureish Ufunguo, Mwameja Mohammed na Steven Mapunda ‘Garrincha’. Ambaye amekatwa ni Nteze John. Kikosi hiki kilitwaa mataji matatu mwaka 2002, Kombe la Tusker, Ligi ya Muungano na Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, sasa Kombe la Kagame
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIKOSI CHA KWANZA TISHIO CHA MAREHEMU SIANG’A SIMBA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top