Graziano Pelle akiifungia bao la kwanza Italia katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji Israel usiku wa jana Uwanja wa Sammy Ofer mjini Haifa katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia. mabao mengine ya Italia katika mchezo huo ambao beki wake tegemeo Giorgio Chiellini alitolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 55 baada ya kugombana na Tomer Hemed wakigombea mpira yalifungwa na Antonio Candreva na Ciro Immobile wakati la Israel lilifungwa na Tal Ben Haim PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Who's Really to Blame for Lakers' 0-3 Playoffs Deficit to Denver Nuggets?
-
When the Los Angeles Lakers jumped out to an 8-0 lead against the Denver
Nuggets in Game 3 of their first-round series, you could almost feel the
script…
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment