Mshambuliaji Mjerumani, Thomas Muller akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Bayern Munich katika ushindi wa 5-0 kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Rostov Uwanja wa Allianz Arena. Mabao mengine ya Bayern Munich yalifungwa na Robert Lewandowski kwa penalti, Joshua Kimmich mawili na Juan Bernat 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Beloved Candy Store Chain to Close Over ‘Economic Pressures’ After 141
Years in Business
-
Lammes Candies, which first opened in 1885, will shut all of its Texas
location
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment