Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez akimlamba chenga kiungo wa PSG, Grzegorz Krychowiak katika mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris, Ufaransa. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, bao la Arsenal likifungwa na Sanchez dakika ya 77, baada ya Edinson Cavani kutangulia kuifungia PSG dakika ya kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Phil Foden has flourished under Pep Guardiola's new tactics, delivered on
the biggest occasions and SMASHED his best ever goal tally... how the
England star went from supporting cast to Man City's main man
-
Phil Foden is now Manchester City's leading man, firing the Premier League
giants to a record fourth successive title and heavy favourite for PFA
Player of...
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment