Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez akimlamba chenga kiungo wa PSG, Grzegorz Krychowiak katika mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris, Ufaransa. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, bao la Arsenal likifungwa na Sanchez dakika ya 77, baada ya Edinson Cavani kutangulia kuifungia PSG dakika ya kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mounjaro and Zepbound Propel Eli Lilly
-
GLP-1 dominance drives a guidance raise and an FDA approval in the same
quarter
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment