Wachezaji wa Manchester United wakimpongeza Daniel James baada ya kufunga penalti ya ushindi wakiilaza AC Milan kwa penalti 5-4 kufuatia sare ya 2-2 Uwanja wa Principality mjini Cardiff. Mabao ya Man United yalifungwa na Marcus Rashford dakika ya 14 na Jesse Lingard dakika ya 72, wakati ya Milan yalifungwa na Suso dakika ya 26 na Victor Lindelof aliyejifunga dakika ya 60. Penalti za Man United ziliufngwa na Lingard, Ashley Young, Mason Greenwood, Mason Gomes na Daniel James wakati za Milan zilifungwa na Hakan Calhanoglu, Giacomo Bonaventura, Andre Silva, Rade Krunic, huku Daniel Maldini pekee akikosa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup hero Vozinha, 40 - who gained 29MILLION followers after denying
Lionel Messi - set to join iconic South American club despite links to
David Beckham's Inter Miami
-
The 40-year-old was one of the heroes of his Cape Verde's surprise run to
the last-32 stage before they were beaten 3-2 by Argentina after extra-time.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment