Wachezaji wa Manchester United wakimpongeza Daniel James baada ya kufunga penalti ya ushindi wakiilaza AC Milan kwa penalti 5-4 kufuatia sare ya 2-2 Uwanja wa Principality mjini Cardiff. Mabao ya Man United yalifungwa na Marcus Rashford dakika ya 14 na Jesse Lingard dakika ya 72, wakati ya Milan yalifungwa na Suso dakika ya 26 na Victor Lindelof aliyejifunga dakika ya 60. Penalti za Man United ziliufngwa na Lingard, Ashley Young, Mason Greenwood, Mason Gomes na Daniel James wakati za Milan zilifungwa na Hakan Calhanoglu, Giacomo Bonaventura, Andre Silva, Rade Krunic, huku Daniel Maldini pekee akikosa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Yankees' Gerrit Cole to Throw off Mound amid Elbow Injury Rehab, Aaron
Boone Says
-
New York Yankees manager Aaron Boone revealed that ace Gerrit Cole is
expected to throw off the mound on Saturday as he continues his recovery,
according to…
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment