Picha kubwa wachezaji wa Atletico Madrid wakifurahia na Kombe la Audi baada ya kuifunga Liverpool (picha ndogo juu kushoto) kwa penalti 5-4 kufuatia sare ya 1-1 ndani ya dakika 90 usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich, Ujerumani. Keidi Bare alianza kuwafungia wenyeji dakika ya 33, kabla ya Roberto Firmino kuwasawazishia wageni dakika ya 83 na katika mikwaju ya penalti waliofunga na Atletico ni Griezmann, Torres, Gabi, Gaitan na Luis wakati za Liverpool zilifungwa na Firmino, Origi, Kent na Grujic huku Henderson akikosa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Timberwolves coach Chris Finch is injured by his own player after brutal
collision with Mike Conley... as concerned players surround 54-year-old
before he limps away late on in playoff win vs the Suns
-
Finch was sent tumbling to the ground when Timberwolves star Mike Conley
evaded a challenge from Devin Booker and moved towards the sideline before
hitting...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment