Kiungo Juan Mata akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 81 katika mchezo wa kirafiki dhidi ya wenyeji, Sampdoria usiku wa jana Uwanja wa Aviva mjini Dublin. Henrikh Mkhitaryan alianza kuifungia United dakika ya tisa, kabla ya Dennis Praet kuisawazishia Sampdoria dakika ya 63 katika mchezo huo ambao, kiungo mpya, Nemanja Matic aliyesajiliwa juzi kutoka Chelsea kwa Pauni Milioni 40 alicheza kwa mara ya kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Timberwolves coach Chris Finch is injured by his own player after brutal
collision with Mike Conley... as concerned players surround 54-year-old
before he limps away late on in playoff win vs the Suns
-
Finch was sent tumbling to the ground when Timberwolves star Mike Conley
evaded a challenge from Devin Booker and moved towards the sideline before
hitting...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment