Mshambuliaji mpya wa Manchester United, Zlatan Ibrahimovic akiruka kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la tatu dakika ya 64 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Bournemouth kwenye mchezo wao wa kwanza Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Vitality. Mabao mengine ya Man United iliyo chini ya kocha mpya, Mreno Jose Mourinho yamefungwa na Juan Mata dakika ya 40 na Nahodha Wayne Rooney dakika ya 59, wakati la Bournemouth limefungwa na Adam Smith dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
REVEALED: How Chelsea flop has gone from being a target of boo boys to
playing a crucial part in their push for Europe... and a key change shows
why Pep Guardiola wanted him at Man City
-
Long after full-time, once Stamford Bridge had emptied to leave only the
cleaners in the stands, Paul Winstanley and Laurence Stewart emerged from
the tunn...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment