Mwanariadha wa Ethiopia Almaz Ayana akiinua mikono kushangilia baada ya kumaliza mbio za mita 10,000 kwa kuvunja rekodi ya dunia akitumia muda wa dakika 29 na sekunde 17.45, hivyo kutwaa Medali ya Dhahabu mjini Rio, Brazil. Mkenya, Vivian Cheruiyot alishinda Medali ya Fedha, mbele ya Mhabeshi mwingine, Tirunesh Dibaba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Élections Québec says it's too late to print voter documents in English
-
MONTREAL — Élections Québec says it is too late to make changes to the
unilingual French documents it is mailing to voters ahead of the election.
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment