Nyota wa Barcelona, Neymar akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Brazil katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Honduras jana Uwanja wa Maracana mjini Rio de Janeiro katika mchezo wa Nusu Fainali Olimpiki 2016 soka. Neymar alifunga tena kwa penalti, wakati mabao mengine ya Brazil yalifungwa na mchezaji mpya wa Manchester City, Gabriel Jesus mawili, beki wa Paris Saint-Germain, Marquinhos aliyejifunga na Luan. Brazil sasa itamenyana na Ujerumani katika fainali ambayo imeitoa Nigeria kwa kuichapa 2-0 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Max Verstappen says Adrian Newey's shock departure will NOT impact his
future at Red Bull for 'the moment'
-
The reigning world champion addressed speculation he's reconsidering his
future at the team ahead of the Miami Grand Prix Thursday after news broke
of Newe...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment