Wachezaji wa Barcelona wakifurahia na taji lao la Super Cup ya Hispania baada ya kulitwaa kufuatia kuifunga mabao 3-0 Sevilla Uwanja wa Camp Nou na kulibeba kwa ushindi wa jumla wa 5-0 kufuatia awali kushinda 2-0 ugenini. Mabao ya Barca jana yalifungwa na Ardur Turan mawili na Lionel Messi moja, wakati kipa Claudio Bravo anayetakiwa na Manchester City alicheza penalti ya Vicente Iborr wa Sevilla PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Solomon Robinson declares Chelsea his club, backs Blues for title
-
Popular football analyst and Chairman of KSAnalysis, Solomon Robinson, has
officially declared Chelsea Football Club as his club ahead of the new
Premier...
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment