Nahodha wa Nigeria, John Obi Mikel akiwa amejiinamia baada ya kufungwa 2-0 na Ujerumani katika Nusu Fainali ya Michezo ya Olimpiki jana mjini Sao Paulo, Brazil. Mabao ya Ujerumani ambayo sasa itamenyana na Brazil katika fainali Jumamosi Uwanja wa Maracana, yalifungwa na Lukas Klosertmann na Nils Peterson PICHA ZAIDI GONGA HAPA
U.S. conducts further strikes on Iran
-
WASHINGTON, June 27 (Reuters) - The United States carried out further
strikes on Iran on Saturday, said the U.S.
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment