Nahodha wa Nigeria, John Obi Mikel akiwa amejiinamia baada ya kufungwa 2-0 na Ujerumani katika Nusu Fainali ya Michezo ya Olimpiki jana mjini Sao Paulo, Brazil. Mabao ya Ujerumani ambayo sasa itamenyana na Brazil katika fainali Jumamosi Uwanja wa Maracana, yalifungwa na Lukas Klosertmann na Nils Peterson PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Solomon Robinson declares Chelsea his club, backs Blues for title
-
Popular football analyst and Chairman of KSAnalysis, Solomon Robinson, has
officially declared Chelsea Football Club as his club ahead of the new
Premier...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment