Nahodha wa Nigeria, John Obi Mikel akiwa amejiinamia baada ya kufungwa 2-0 na Ujerumani katika Nusu Fainali ya Michezo ya Olimpiki jana mjini Sao Paulo, Brazil. Mabao ya Ujerumani ambayo sasa itamenyana na Brazil katika fainali Jumamosi Uwanja wa Maracana, yalifungwa na Lukas Klosertmann na Nils Peterson PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Giannis, Damian Lillard Working for Return to Bucks from Injuries;
Status TBD
-
Milwaukee Bucks stars Giannis Antetokounmpo (calf) and Damian Lillard
(Achilles) reportedly might be on the floor for Thursday's Game 6 of their
first-round…
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment