Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Sanaa katika Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Leah Kihimbi (kulia), akikabidhi Bendera ya Taifa kwa Mshindi wa shindano la Airtel Trace Music Star 2016, Melisa John, jijini Dar es Salaam jana, kwa ajili ya kuiwakilisha nchi katika fainali za mashindano ya Afrika zitakazofanyika Lagos nchini Nigeria Juni 11 mwaka huu. Wanaoshuhudia ni Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando (wa pili kushoto) na Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Ngereza.
Robert Kraft delivers message to Vladimir Putin over Super Bowl ring at Tom
Brady roast after Russian leader has held it for nearly two decades
-
It's been 19 years since one of the Super Bowl championship rings owned by
Robert Kraft was taken by Russian leader Vladimir Putin. Kraft hasn't
forgotten.
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment