Mshambuliaji wa Real Madrid ya Hispania, Cristiano Ronaldo akishangilia kishujaa baada ya kuifungia mabao mawili Ureno katika ushindi wa 7-0 dhidi ya Estonia kwenye mchezo wa kirafiki kujiandaa na Euro 2016 nchini Ufaransa. Mabao mengine ya Ureno yamefungwa na Ricardo Quaresma mawili, Danilo Pereira, Mets aliyejifunga na Eder 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ezekiel Elliott's Cowboys Fantasy Impact After Agreeing to Rumored Contract
-
The Dallas Cowboys may have found their No. 1 running back. Ian Rapoport
and Tom Pelissero of NFL Network reported the team agreed to a deal with
Ezekiel…
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment