Kiungo wa Liverpool ya England, Philippe Coutinho akikimbia kushangikia baada ya kuifungia mabao matatu Brazil katika ushindi wa 7-1 dhidi ya Haiti kwenye mchezo wa Copa America Uwanja wa Camping World mjini Orlando, Marekani. Mabao mengine ya Brazil yamefungwa na Renato Augusto mawili, Gabriel Barbosa na Lucas Lima, wakati la Haiti limefungwa na James Marcelin PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary Neville slams Chelsea's 'mad' eight-year contracts - claiming they
make young players feel 'genuinely rich' and take away their motivation
-
Todd Boehly handed out lengthy deals to new arrivals during a £1billion
spending spree in the first transfer windows after he bought the club.
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment