Kiungo wa Liverpool ya England, Philippe Coutinho akikimbia kushangikia baada ya kuifungia mabao matatu Brazil katika ushindi wa 7-1 dhidi ya Haiti kwenye mchezo wa Copa America Uwanja wa Camping World mjini Orlando, Marekani. Mabao mengine ya Brazil yamefungwa na Renato Augusto mawili, Gabriel Barbosa na Lucas Lima, wakati la Haiti limefungwa na James Marcelin PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Panama vs England - World Cup LIVE: Three Lions team news LEAKED with
Thomas Tuchel set to make surprise call at right back after Reece James
injury - as WAGs throw their support behind stars
-
This is Daily Mail Sport's coverage as England take on Panama in their
final Group L match as Thomas Tuchel and Co battle to keep a firm grip on
their firs...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment