Gwiji wa Uholanzi, Edgar Davids akimtoka Paddy McGuinness wa timu ya Magwiji wa England akiiichezea timu ya Magwiji wa Dunia katika mchezo maalum wa Soccer Aid Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester jana. England ilishinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Mark Wright na Jermain Defoe mawili, wakati ya magwiji wa dunia yalifungwa na Dimitar Berbatov katika mchezo ambao Mtangazaji wa Televisheni, Ben Shepherd alitolewa nje kwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dreams FC have nullified the perception of Ghana football decline - Bibiani
Goldstars chief
-
Kwasi Adu, the Chief Executive Officer of Bibiani Goldstars, has stated
that Dreams FC's remarkable performance in the CAF Champions League have
shattered ...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment