Mshambuliaji wa Liverpool, Divock Origi akienda chini wakati anapambana na mchezaji wa West Ham United, Angelo Ogbonna katika mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA usiku wa jana Uwanja wa Upton Park. West Ham ilishinda 2-1 na kuitoa Liverpool, mabao yake yakifungwa na Michail Antonio na Ogbonna, wakati la Liverpool lilifungwa na Philippe Coutinho. West Ham sasa itamenyana na Blackburn katika Raundi ya Tano Uwanja wa Ewood Park PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🔥 On a par with Kane: Bundesliga striker posts incredible stats
-
Harry Kane (37), Michael Olise (29), and Luis Díaz (29) are dominating the
Bundesliga in terms of scorer points at will. However, currently, one
player is ...
54 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment