Mshambuliaji wa Liverpool, Divock Origi akienda chini wakati anapambana na mchezaji wa West Ham United, Angelo Ogbonna katika mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA usiku wa jana Uwanja wa Upton Park. West Ham ilishinda 2-1 na kuitoa Liverpool, mabao yake yakifungwa na Michail Antonio na Ogbonna, wakati la Liverpool lilifungwa na Philippe Coutinho. West Ham sasa itamenyana na Blackburn katika Raundi ya Tano Uwanja wa Ewood Park PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary Neville names a VERY different top five Premier League midfielders to
'biased' Jamie Carragher
-
Gary Neville and Jamie Carragher don't often see eye-to-eye and that was
apparent with the pair naming their greatest-ever Premier League
midfielders.
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment