Mshambuliaji wa Liverpool, Divock Origi akienda chini wakati anapambana na mchezaji wa West Ham United, Angelo Ogbonna katika mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA usiku wa jana Uwanja wa Upton Park. West Ham ilishinda 2-1 na kuitoa Liverpool, mabao yake yakifungwa na Michail Antonio na Ogbonna, wakati la Liverpool lilifungwa na Philippe Coutinho. West Ham sasa itamenyana na Blackburn katika Raundi ya Tano Uwanja wa Ewood Park PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England rugby star Billy Vunipola arrested after violent incident at pub in
Majorca with police tasering him twice after he threatened customers and
staff with bottles and chairs
-
The 31-year-old had to be tasered twice after police rushed to a bar called
Epic in the island capital Palma following calls from security staff.
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment