• HABARI MPYA

    Sunday, June 15, 2014

    VIGOLI VIWILI TU, NEYMAR AANZA KUHANGAIKA NA UREMBO WA NYWELE

    NYOTA wa Brazil, Neymar amebadilisha mtindo wa nywele na kuziweka dawa kama ambavyo walifanya wachezaji wa Romania katika Kombe la Dunia mwaka 1998 nchini Ufaransa. 
    Baada ya kufunga mabao mawili katika mchezo wa ufunguzi wa Kombe la Dunia Brazil ikiilaza Croatia 3-1, Neymar ameonyesha mtindo mpya wa nywele saws na mchezaji mwenzake wa Barcelona, beki wa kushoto Dani Alves. 

    Nywele hizo: Neymar katika mtindo mpya wa nywele mazoezini na Brazil kujiandaa kwa mechi ya pili
    Hair we go: Neymar (left) and Dani Alves have dyed their hair blond and silver
    Neymar (kuahoto) na Dani Alves katika mtindo mpya wa nywele
    Crop idol: Brazil fans flock around their hero and his new hairdo
    Mashabiki wa Brazil wakiwa wamemjalia nyota wao
    Neck it: Neymar's skill illuminated the opening game and Brazil's hopes rest on his shoulders
    Neymar akionyesha ujuzi wake wa kuuchezea mpira mazoezini
    Blond moment: Every Romania player dyed their hair blond at France 98
    Unakumbuka haws?  Romania pia waliibuka na mtindo huu wa nywele Ufaransa mwaka 1998
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: VIGOLI VIWILI TU, NEYMAR AANZA KUHANGAIKA NA UREMBO WA NYWELE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top