MSHAMBULIAJI David Villa amefunga mabao mawili usiku wa jana Hispania ikishinda 2-0 dhidi ya El Salvador katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na Kombe la dunia.
Mkongwe huyo sasa anafikisha jumla ya mabao 58 aliyoifungia timu yake ya taifa, wakati akijiandaa kwenda Kombe la Dunia.
Hispania watacheza mechi yao ya kwanza ya Kundi B Kombe la Dunia dhidi ya Uholanzi katika Jiji la Salvador Ijumaa.
0 comments:
Post a Comment