• HABARI MPYA

    Saturday, September 10, 2016

    UKIONA KANUNA, UJUE KAPIGWA...MAN U 1-2 MAN CITY

    Kocha wa Manchester United, Jose Mourinho (kushoto) akiwa amenuna baada ya timu yake kufungwa mabao 2-1 na Manchester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Kulia ni kocha wa City, Pep Guardiola ambaye mabao ya timu yake yamefungwa na Kevin de Bruyne na Kelechi Iheanacho, wakati la kufutia machozi la United lilifungwa na Zlatan Ibrahimovic  PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UKIONA KANUNA, UJUE KAPIGWA...MAN U 1-2 MAN CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top