TANZANIA leo imechapwa 2-1 na Ethiopia katika mfululizo michuano ya CECAFA wanawake U20 mchana wa leo Uwanja wa FTC Njeru nchini Uganda.
Kipigo hicho kinakuja baada ya Tanzanite kushinda mechi mbili za awali, 1-0 dhidi ya Eritrea na 3-2 dhidi ya Burundi.
Tanzanite itashuka tena dimbani Jumamosi kuivaa Uganda kabla ya kukamilisha mechi zake kwa kucheza na Djibouti Novemba 9.
0 comments:
Post a Comment