• HABARI MPYA

    Wednesday, November 03, 2021

    TANZANITE YAONJESHWA KIPIGO MICHUANO YA CECAFA


    TANZANIA leo imechapwa 2-1 na Ethiopia katika mfululizo michuano ya  CECAFA wanawake U20 mchana wa leo  Uwanja wa FTC Njeru nchini Uganda.
    Kipigo hicho kinakuja baada ya Tanzanite kushinda mechi mbili za awali, 1-0 dhidi ya Eritrea na 3-2 dhidi ya Burundi.
    Tanzanite itashuka tena dimbani Jumamosi kuivaa Uganda kabla ya kukamilisha mechi zake kwa kucheza na Djibouti Novemba 9.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TANZANITE YAONJESHWA KIPIGO MICHUANO YA CECAFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top