• HABARI MPYA

    Sunday, November 07, 2021

    BEKI MKONGO SIMBA AFUNGIWA NA FAINI MILIONI




    BEKI Mkongo wa Simba SC, Henock Inonga Baka amefungiwa mechi tatu na kutozwa faini ya Sh. Milioni 1 baada ya kutolewa kwa kadi nyekundu kwenye mechi dhidi ya Coastal Union Oktoba 31 Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam kufuatia kumpiga kichwa mchezaji wa wapinzani.






    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BEKI MKONGO SIMBA AFUNGIWA NA FAINI MILIONI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top