BEKI Mkongo wa Simba SC, Henock Inonga Baka amefungiwa mechi tatu na kutozwa faini ya Sh. Milioni 1 baada ya kutolewa kwa kadi nyekundu kwenye mechi dhidi ya Coastal Union Oktoba 31 Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam kufuatia kumpiga kichwa mchezaji wa wapinzani.
Lake to captain Wales in summer internationals
-
The Gloucester-bound hooker will captain Wales in this summer's four
internationals, stating with Saturday's game against the Barbarians at
Allianz Stadium.
0 comments:
Post a Comment