YANGA SC imetoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya KMKM katika mchezo wa kirafiki usiku huu Uwanja wa Amaan, Zanzibar. KMKM walitangulia kwa bao la Optatus Lupekenya dakika ya 20, kabla ya Yanga kuzinduka kwa mabao ya Wakongo, winga Jesus Moloko 27 na Fiston Mayele dakika ya 85. Huo ulikuwa mchezo wa pili wa kirafiki kwa Yanga baada ya Jumanne kushinda 1-0 hapo hapo Amaan, bao la Mkongo mwingine, Heritier Makambo. Yanga iliwasili Jumanne Zanzibar kuweka kambi ya wiki moja kipindi hiki cha mapumziko mafupi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment