WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akizungumza na wachezaji wa timu ya taifa, Taifa Stars jana baada ya mazoezi kuelekea mchezo wa kesho wa Kundi J kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta anayecheza Royal Antwerp ya Ubelgiji akiwa mazoezini na wenzake.
0 comments:
Post a Comment