WENYEJI, Azam FC wameibuka na ushindi wa 4-1 dhidi ya JKU ya Zanzibar katika mchezo wa kirafiki jioni ya leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Mabao ya Azam FC leo yamefungwa na Mkongo Idris Mbombo moja kwa penalti dakika ya 19 na lingine dakika ya 40 na Wazambia, Charles Zulu dakika ya 23 na Rodgers Kola dakika ya 90, wakati la JKU limefungwa na Mustafa Hassan dakika ya 81 kwa penalti pia.
Police arrest 2 over N400m fraud
-
By John Ogunsemore The Nigeria Police Force has arrested two male suspects,
Saidu Adam Usman and Yusuf Umar, in connection with the creation and
distribu...
Referees undergo refresher course in Njeru
-
Uganda referees set to officiate in the second round of FUFA Competitions
this season have reported at the FUFA Technical Centre, Njeru for sessions
invo...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment