BAO pekee la Ansu Fati limeipa Barcelona ushindi wa 1-0 dakika ya 70 limeipa Barcelona ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Dynamo Kyiv usiku wa Jumanne Uwanja wa NSK Olimpiki Jijini.
Barca inafikisha pointi sita na kupanda nafasi ya pili ikizidiwa pointi sita na vinara, Bayern Munich wakati Dynamo Kyiv inabaki na pointi yake moja katika nafasi ya tatu nyuma ya Benfica yenye pointi nne baada ya wote kucheza mechi nne.
0 comments:
Post a Comment