TANZANIA leo imepoteza mechi ya pili mfululizo kwenye michuano ya CECAFA wanawake U20 baada ya kuchapwa 1-0 na wenyeji, Uganda Uwanja wa FTC Njeru. Kipigo hicho kinafuatia kipigo cha 2-1 kutoka kwa Ethiopia kwenye mchezo uliopita. Mechi mbili za awali, Tanzanite ilishinda 1-0 dhidi ya Eritrea na 3-2 dhidi ya Burundi na itashuka tena dimbani Jumanne kukamilisha mechi zake kwa kucheza na Djibouti.
Post-NBA Trade Deadline 2025 Buyout Candidates
-
With the NBA trade deadline now in the rearview mirror, some of the top
teams in the league will turn to the buyout market for potential roster
additions. ...
Referees undergo refresher course in Njeru
-
Uganda referees set to officiate in the second round of FUFA Competitions
this season have reported at the FUFA Technical Centre, Njeru for sessions
invo...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment