BEKI aliyesimamishwa Azam FC kwa utovu wa Nidhamu, Aggrey Morris Ambrose ni miongoni mwa washiriki wa Koziya Ukocha ya CAF Diploma C inayoendelea Makao Makuu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Uwanja wa Karume, Ilala Jijini Dar es Salaam.
Pamoja na Aggrey Morris, lakini wapo mshambuliaji wa zamani wa Simba na Yanga, Shauri Iddi Mussa na mchambuzi wa Azam Tv, Ally Kamwe.
Senegal face Togo in crucial World Cup Qualifier
-
Senegal will face Togo in a crucial 2026 FIFA World Cup qualifying clash
at Stade Me Abdoulaye Wade, determined to avoid further setbacks in their
campa...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment