BEKI aliyesimamishwa Azam FC kwa utovu wa Nidhamu, Aggrey Morris Ambrose ni miongoni mwa washiriki wa Koziya Ukocha ya CAF Diploma C inayoendelea Makao Makuu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Uwanja wa Karume, Ilala Jijini Dar es Salaam.
Pamoja na Aggrey Morris, lakini wapo mshambuliaji wa zamani wa Simba na Yanga, Shauri Iddi Mussa na mchambuzi wa Azam Tv, Ally Kamwe.
0 comments:
Post a Comment