WACHEZAJI wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars wakiwa kwenye ndege wakati wa safari ya kwenda Antananarivo kwa ajili ya mchezo wao wa mwisho wa Kundi J kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya wenyeji, Madagascar Jumapili.
Taifa Stars imepoteza nafasi ya kufuzu fainali hizo zitakazofanyika Qatar mwakani baada ya kufungwa 3-0 na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) jana Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment