WACHEZAJI wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars wakiwa kwenye ndege wakati wa safari ya kwenda Antananarivo kwa ajili ya mchezo wao wa mwisho wa Kundi J kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya wenyeji, Madagascar Jumapili. Taifa Stars imepoteza nafasi ya kufuzu fainali hizo zitakazofanyika Qatar mwakani baada ya kufungwa 3-0 na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) jana Dar es Salaam.
Senegal face Togo in crucial World Cup Qualifier
-
Senegal will face Togo in a crucial 2026 FIFA World Cup qualifying clash
at Stade Me Abdoulaye Wade, determined to avoid further setbacks in their
campa...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment