AFISA Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Amin 'Popat' jana alitembelea akademi ya klabu ya Queens Park Rangers Jijini London England ikiwa sehemu ya ziara yake nchini England.
Akademi hiyo iliyopo category two, ni maarufu kwa kuzalisha wachezaji kama Raheem Sterling na Peter Crouch.
Popat ambaye awali alitembelea akademi ya Crystal Palace, yupo katika ziara ya kuitangaza na kuitambulisha Azam FC barani Ulaya hususani England.
0 comments:
Post a Comment