KIINGILIO cha chini katika mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania kucheza hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika baina ya wenyeji, Simba SC na Red Arrows ya Zambia ni Sh.5000.
Taarifa ya Simba SC leo imesema kwamba viingilio vingine katika mchezo huo utakaofanyika Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam Jumapili kuanzia Saa 10:00 jioni ni Sh.20,000 kwa VIP B na C na 40,000 kwa VIP A.
0 comments:
Post a Comment