Winga Mtanzania, Simon Msuva (kushoto) akiwa na wachezaji wenzake wa Difaa Hassan El-Jadidi mazoezini jana Uwanja wa El Abdi mjini El- Jadidi, Morocco
Simon Msuva kushoto akipiga shui dhidi ya mchezaji mwenzake
Simon Msuva akiwa chini ya ulinzi wa beki kwenye mazoezi ya jana Uwanja wa El Abdi
Baada ya mazoezi, Simon Msuva akaenda kwenye kikao cha pamoja cha wachezaji wote na viongozi
Kikao kilifanyika ukumbi wa mikutano wa klabu yake hiyo mpya
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment