• HABARI MPYA

    Wednesday, August 02, 2017

    KELECHI IHEANACHO KATIKA VIPIMO VYA AFYA LEICESTER CITY

    Mshambuliaji Mnigeria, Kelechi Iheanacho akifanyiwa vipimo vya afya kuelekea uhamisho wake wa Pauni Milioni 25 Leicester City kutoka Manchester City, ambayo imekubali kipengele cha kumnunua tena mchezaji huyo kwa ada ya Pauni Milioni 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KELECHI IHEANACHO KATIKA VIPIMO VYA AFYA LEICESTER CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top